BENKI YA MAENDELEO TIB YANG'AA KWENYE MAONESHO YA BIASHARA TANGA





Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Pili Hassani Mnyima akimkabidhi Cheti Afisa Mwandamizi wa Miradi kutoka Benki ya Maendeleo TIB, Sonia Mlaki (kushoto) baada ya Benki hiyo kushika nafasi ya kwanza katika kipengele cha Benki zenye huduma zenye tija za maendeleo ya nchi kwa ujumla wake tofauti na benki  zingine zilizoshiriki maonyesho hayo ya biashara ya 8 yaliyofanyika kitaifa mkoani Tanga. TIB Development Bank pia imeshika nafasi ya tatu katika kipengele cha huduma za bima. 
Afisa Mwandamizi wa Miradi kutoka Benki ya Maendeleo TIB, Sonia Mlaki  akionesha cheti
Afisa Msimamizi wa miradi kutoka Benki ya Maendeleo TIB Sonia Mlaki akiwa na Afisa Mwandamizi Idara ya Masoko na Mahusiano Carlos Nathaniel Ntangeki kwenye Maonyesho ya biashara ya 8 ambayo kitaifa yamefanyika mkoani Tanga.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post