DIAMOND PLATINUMZ KUWANIA TUZO ZA BET NCHINI MAREKANI
Friday, May 28, 2021
Wasanii watatu wa Afrika wameteuliwa kuwania tuzo za BET nchini Marekani.Wasanii hao ni Diamond Platinumz , Wizkid na Burnaboy kutoka Nigeria pamoja na wasanii wa Ufaransa .
Burnaboy aliibuka mshindi wa orodha hiyo mwaka uliopita . Wasanii hao watawania tuzo ya mwanamuziki bora wa kimataifa.
Tuzo za BET zitafanyika tarehe 27 mwezi Juni na watu watahudhuria tamasha lake baada ya kufanyika kwa video mwaka uliopita kwasababu ya mlipuko wa virusi vya corona.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin