RAIS SAMIA AMTEUA ACP SALUM RASHID HAMDUNI KUWA MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU....AMKUMBUKA MAKONGORO NYERERE


Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Salum Rashid Hamduni
Makongoro Nyerere

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa na Watendaji wakuu wa taasisi mbalimbali ambapo kati yao amemteua Bwana Makongoro Nyerere kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Salum Rashid Hamduni kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) akichukua nafasi ya Brigedia Jenerali John Mbungo ambaye atapangiwa majukumu mengine.

Soma Majina ya Wakuu wa Mikoa na Watendaji Wakuu wa Taasisi Mbalimbali walioteuliwa leo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments