MAZISHI YA MKURUGENZI WA PRINCESS RECORDS 'CHIEF CHRISS' KUFANYIKA KESHO LALAGO MASWA

Chief Chriss enzi za uhai wake
***
Mazishi ya Mwili wa Mkurugenzi wa Studio ya Princess Records, Christopher Joseph Mayenga maarufu Chief Chriss aliyefariki dunia Mei 12,2021 yanatarajiwa kufanyika kesho Jumamosi Mei 15,2021 mchana katika makaburi ya Mwandete Lalago wilayani Maswa mkoani Simiyu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments