MAZISHI YA MKURUGENZI WA PRINCESS RECORDS 'CHIEF CHRISS' KUFANYIKA KESHO LALAGO MASWA
Friday, May 14, 2021
Chief Chriss enzi za uhai wake
***
Mazishi ya Mwili wa Mkurugenzi wa Studio ya Princess Records, Christopher Joseph Mayenga maarufu Chief Chriss aliyefariki dunia Mei 12,2021 yanatarajiwa kufanyika kesho Jumamosi Mei 15,2021 mchana katika makaburi ya Mwandete Lalago wilayani Maswa mkoani Simiyu.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin