UGONJWA WA CORONA UMESABABISHA MCHUMBA WANGU KUNIACHA NJIA PANDA NIKIWA MDOMO WAZI



Si kweli kuwa kila mwanaume ambaye unaingia nae katika mahusiano ni lazima akuoe. Nasema hivyo kwa sababu mwanaume mwenye nia nzuri kwako na mwenye nia mbaya kwako ni vigumu kuweza kuwatofautisha maana wote husema neno nakupenda pamoja na ahadi nyingi kutoa pale anapokutongoza.

Sisi wasichana tunakutana na hiyo shida hivyo ni lazima uingie katika mahusiano ndiyo utaweza kugundua nani mkweli na nani si mkweli kwako.

Kwa majina naitwa Vivian, nina umri wa miaka 29 na kwetu ni Mwanza-Tanzania,nipo nchini Uganda kimasomo. Nasoma Chuo Kikuu Makerere nipo mwaka wa tatu.

Kulingana na umri wangu nilionao nimeweza kupata mchumba hapa chuo tangu nikiwa mwaka wa kwanza. Mchumba wangu anaitwa Willisoni la yeye kwao ni hapa Uganda.

Mapenzi yetu mwanzo yalikuwa mazuri sana pia alikuwa ananisaidia sana katika mambo mbalimbali kama vile kimasomo na kifedha kwa namna moja au nyingine. Kulingana na mahusiano yetu yalivyokuwa hivyo mchumba wangu aliweza kunichukua kwa wazazi wake kunitambulisha na mara kwa mara nilikuwa nawasiliana na wadogo zake Williso na hata na mama yake mzazi.

Janga la ugonjwa wa Corona lilipoingia nchini Uganda,Serikali ya Uganda ilitoa tamko la wanafunzi wote kurudi nyumbani kwa muda usiojulikana hadi serikali itakapotoa tamko la kurudi shule. Hivyo mimi niliweza toka chuoni na kwenda nyumbani Mwanza na kumuacha Willison akiwa kwenye  chumba ambacho tulikuwa tunapangisha.

Baada ya kupita siku kadhaa Willison alianza kubadilika haswa nilipokuwa nampigia video call hataki kushika nikiuliza anatoa sababu ambazo hazina maana.

Hakuishiahapoadiikafikahatuanikipiga simu achukui au nikitumaujumbe wa message hajibu.Nilianzakupatawasiwasi kwa niniamekuwahivyokituganikipona uwezo wa kutumaatarafikiyanguhakuwepomaanamagariyalikuwahayatembei.

Baada ya siku 21 kuisha serikali ya Uganda iliongeza tena siku 21 za kukaa nyumbani kweli ugonjwa wa Corona umenifunza.Tabia yake ya kukaa kimya ilinipa wasiwasi nilipomuuliza mdogo wake na mama mkwe wangu wote walisema hajawasiliana nao hivyo yeye ni mzima japo sikutaka kuwaambia kuwa mimi siwasiliani nae.

Hivyo sikuwa na budi ya kumukabidhi yote Mungu baba na kuomba kila siku na kusubiri siku serikali itakapotoa tamko la wanafunzikurudi shule ili niweze kukutana na Willison ili nijue shida ni ninI.

Kulingana na ugonjwa wa Corona ulivyokuwa umeteka dunia nzima hivyo kila mara taarifa zinazohusu ugonjwa wa Corona zilikuwa mtandaoni hivyo nilikuwa nafuatilia hizo taarifa mtandaoni kwa kutumia simu yangu niliweza kukutana na website ya kiwangadoctors.

Nilipotembelea website yao nikakuta wanasaidia matatizo mbalimbali kama kupata mpenzi,kupata cheo au kazi,kurudisha furaha na amani kwa familia,kutambua kuwa mpendwa wako anakusaliti kwa muda wa masaa 24 na kufunga mme au mke asiende nje ya ndoa.

Nilipoona hayo yote niliweza kuchukua mawasiliano ya kiwangadoctors ambayo ni +254 769404965,email kiwangadoctors@gmail.com.

Kulingana na malezi yangu kutoka kwa wazazi wangu nilikuwa sijawahi kwenda kwa mganga wa kienyeji au kuwasiliana na mganga ila mchumba wangu ambaye sikuwa tiyari kumpoteza ilinibidi nipige simu kwa Dr. Kiwanga.

Simu yangu ilipokelewa vizuri na Dr. Kiwanga akaniuliza anisaidie nini,Ukweli nilishindwa kuongea kulingana na uoga niliokuwanao ila nilikata simu na kumtumia ujumbe Dr. Kiwanga WhatsApp na kueleza shida yangu.Ujumbe wangu uliweza kupokelewa na kujibiwa namna gani ambavyo naweza saidika.

Kwa kupitia WhatsApp Dr aliwezaniliuliza baadhi ya maswali kuhusu mchumba wangu bila kukawia nilimjibu kama ilivyotakiwa.

Muda kadhaa kupita ndipo Dr. Kiwanga alinipatia majibu kuwa mchumba wangu kuna msichana ambaye yupo anaishi nae na akasema ndani ya masaa 24,mchumba wangu mwenyewe atanipigia simu na kuniambia kipi kimemsibu.

Baada ya masaa 5 kupita baada ya kuwasiliana na Dr. Kiwanga mchumba wangu alinipigia simu na kuniaambia kuwa alikuwa hataki kunipigia simu au kupokea simu yangu kwa sababu Liliani alikuja nyumbani baada ya hostel zao kufungwa na kumuomba kuwa atalala siku moja ili kesho yake akende kwao Masaka ila usiku wa siku hiyo serikali ilitoa tamko la magari kutotembea na kwa sasa anaishi na Lilian na anaomba nimsamehee kwa sababu moyo wake unamuuma kwa kitendo anachofanya.

Hawezi kumfukuza Lilian kwa sababu hana pakwenda na usafiri hamna. Asingeniambia kuwa yupo na Lilian kwa Chumba ambacho tunaishi pia Lilian ni rafiki yetu tangu mwaka wa kwanza hadi mwaka wa tatu sasa ila akasema wanahitaji msamaha wangu maana wote hawana raha kwa jamboa mbalo linaendelea kati yao.

Lilian alikuwa ni rafiki yangu ambaye tunasoma mwaka mmoja chuoni. Hapo hapo alimpa simu Lilian na kisha nikaongea nae  akanieleza jinsi ilivyotokea hadi kufikia hatua ya kuishi na Willison na kukiri kuwa wameshiriki tendo la ndoa siku hizo zote.

Kuringana na maelezo yao wote na jinsi Corona ilivyokuwa haswa Uganda watu walikuwa hawatembei kutoka sehemu moja kwenda nyingine ilibidi niwasamehe wote.

Na baada ya kurudi chuo tuliambatana wote hadi kanisani na kila moja kushika Bible na kuapa hatarudia tena, na kwa sasa Wilison kanioa na Lilian bado ni rafiki yangu.

Wasiliana na kiwangadoctors kwa namba+254 769404965,email kiwangadoctors@gmail.com au tembelea website yao www.kiwangadoctors.com 

Asante Kiwanga doctors kwa kunisaidia kufumbua jambo ambalo nilikosa jibu lake kwa muda mrefu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments