Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi amesema Watanzania watafanya kosa kubwa endapo watashindwa kuendeleza yale mema aliyoanzisha na kuyaenzi aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli.
Rais Tshisekedi amesema Dkt. Magufuli amekuwa akitekeleza ndoto zilizokuwa kwa viongozi waasisi wa Bara la Afrika za kuliletea Bara hilo za maendeleo na kupinga vitendo vya ukandamizaji kwa wananchi.
Amesema Dkt. Magufuli ataendelea kukumbukwa na Waafrika wote ambao walimuona kiongozi huyo kama mkombozi wao.
Rais Tshisekedi ameyasema hayo katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma wakati wa shughuli ya kitaifa ya kuaga mwili wa Dkt. Magufuli.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin