MENEJA WA BENKI YA TPB SHINYANGA JULIUS MATASO ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KIFO CHA MAGUFULI


Meneja wa Benki ya TPB Tawi la Shinyanga Julius Mataso akitia saini Kitabu cha Kumbukumbu ya Maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyefariki dunia Machi 17,2021 katika ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga leo Jumatano Machi 24,2021. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Meneja wa Benki ya TPB Tawi la Shinyanga Julius Mataso akitia saini Kitabu cha Kumbukumbu ya Maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga leo Jumatano Machi 24,2021. 

UPDATES ZOTE

Pakua / Download App ya Malunde 1 blog Tuwe tunakutumia taarifa zote moja kwa moja kwenye simu yako bure kabisa 

Bofya <<HAPA>> Mara Moja Tu


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments