MWILI WA HAYATI MAGUFULI ULIVYOPOKELEWA DODOMA


Mwili wa aliyekuwa Rais wa awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli ulipowasili jijini Dodoma na kupokelewa na maelfu ya wananchi. Shughuli za kuaga mwili wa marehemu Dkt. John Pombe Magufuli Kitaifa ni tarehe leo 22 Machi, 2021 katika Uwanja wa Jamhuri ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan atawaongoza viongozi kutoka mataifa mbalimbali na wananchi katika kutoa heshima zao za mwisho kwa marehemu.


UPDATES ZOTE

Pakua / Download App ya Malunde 1 blog Tuwe tunakutumia taarifa zote moja kwa moja kwenye simu yako bure kabisa 

Bofya <<HAPA>> Mara Moja Tu


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments