Tanzia : DK. PIUS NG'WANDU AFARIKI DUNIA


Aliyewahi kuwa Mbunge wa Maswa mkoani Simiyu Dkt Pius Yasebasi Ng'wandu amefariki dunia leo katika Hospitali ya mkoa wa Simiyu iliyoko mjini Bariadi alikokuwa akipatiwa matibabu. 

Dkt. Ng’wandu amewahi kushika nyadhifa mbalimbali enzi za uhai wake ikiwa ni pamoja na kuwa Balozi wa Tanzania nchini Japan,Waziri wa Maji na Waziri wa Sayansi na Teknolojia na Mkuu wa mkoa wa Shinyanga.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments