Aliyewahi kuwa Mbunge wa Maswa mkoani Simiyu Dkt Pius Yasebasi Ng'wandu amefariki dunia leo katika Hospitali ya mkoa wa Simiyu iliyoko mjini Bariadi alikokuwa akipatiwa matibabu.
Dkt. Ng’wandu amewahi kushika nyadhifa mbalimbali enzi za uhai wake ikiwa ni pamoja na kuwa Balozi wa Tanzania nchini Japan,Waziri wa Maji na Waziri wa Sayansi na Teknolojia na Mkuu wa mkoa wa Shinyanga.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin