RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MAWAZIRI WAWILI


Rais, Dkt. John Magufuli ameteua mawaziri wawili wa Baraza jipya la mawaziri leo, Novemba 13.

Uteuzi huo ni wa Dkt. Philip Mpango kuwa Waziri wa Fedha na Mipango, nafasi aliyokuwa nayo katika baraza lililopita.

Pia, Prof. Palamagamba Kabudi ameteuliwa kuendelea kushika nafasi aliyokuwa nayo ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki


 


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments