JPM KESHO KUUNGURUMA BAGAMOYO PWANI AKIENDELEA KUNADI SERA ZA CCM NA KUOMBA KURA
Sunday, October 18, 2020
Pwani nakuita mara tatu. Siku ya Oktoba 19, 2020 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli ataunguruma Mkoani Pwani pale Wilaya ya Bagamoyo. Ni Mwendelezo wa Kunadi Sera na Ilani ya CCM Kila kona ya Tanzania.
Bagamoyo amefika sasa, asiwepo wa Kukosa wala wa Kusimuliwa.
#KuraKwaMagufuli2020
#T2020JPM
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin