MAJALIWA AENDELEA KUTIMBA CHOCHO KWA CHOCHO KUSAKA KURA ZA JPM
Friday, October 16, 2020
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Ndugu Kassim Majaliwa anaendelea kutimba chocho kwa chocho kusaka kura za Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli, Wabunge na Madiwani wote wa CCM na Leo Ijumaa Oktoba 16, 2020 ni zamu ya Arusha. Haya ndiyo aliyoyazungumza Kwenye Mkutano Mkubwa Uliofanyika Loliondo, Arusha.
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
Social Plugin
TAFUTA HABARI
MAFUNZO NA LESENI
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin