MAJALIWA AENDELEA KUTIMBA CHOCHO KWA CHOCHO KUSAKA KURA ZA JPM

Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Ndugu Kassim Majaliwa anaendelea kutimba chocho kwa chocho kusaka kura za Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli, Wabunge na Madiwani wote wa CCM na Leo Ijumaa Oktoba 16, 2020 ni zamu ya Arusha. Haya ndiyo aliyoyazungumza Kwenye Mkutano Mkubwa Uliofanyika Loliondo, Arusha.
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments