HIZI HAPA KAULI 5 KALI ZA RAIS MAGUFULI AKIWA DAR ES SALAAM



Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli Jana Jumatano Oktoba 14 alihutubia Mkutano Mkubwa wa Kampeni Uliofanyika Viwanja Vya Tanganyika Packers, Kawe Jijini Dar es Salaam. Dkt Magufuli alitumia Mkutano huo pia Kukumbuka miaka 21 bila ya kuwa na Baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere na alipata nafasi ya Kumuelezea kwa Mapana Baba wa Taifa na Kuwaasa Watanzania kuwaepuka baadhi ya Wagombea wa Urais wanaotumika na Mabeberu kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu kwa maslahi yao binafsi. Haya ndio aliyoyazungumza Kwenye Mkutano huo.

#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM 










Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments