JOHN MLYAMBATE ARUDISHA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SHINYANGA MJINI


Afisa Habari na Mawasiliano Serikalini, John Mlyambate akikabidhi fomu ya kuomba ridhaa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini katika ofisi za CCM wilaya ya Shinyanga Mjini kwa Katibu wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Agnes Bashemu leo Julai 16,2020.

Akikabidhi fomu hizo, Mlyambate amewakumbusha wajumbe wa Mkutano Mkuu wa wilaya na wagombea wenzake kuzingatia maadili na miiko ya chama katika kuhakikisha zoezi linakuwa huru na haki na hatimaye akapatikane mwakilishi mzuri atakayepeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi katika Jimbo la Shinyanga Mjini. 
Afisa Habari na Mawasiliano Serikalini, John Mlyambate akikabidhi fomu ya kuomba ridhaa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini katika ofisi za CCM wilaya ya Shinyanga Mjinikwa Katibu wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Agnes Bashemu (kushoto) leo Julai 16,2020.
Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527