Visa Vipya 32 Vya Corona Vyaongezeka Uganda, Maambukizi Yafikia 489

Wizara ya Afya nchini Uganda  imerekodi visa vipya 32 vya COVID19 nchini humo na idadi ya maambukizi hadi sasa ni 489, Wagonjwa wapya wote ni raia wa Uganda.

19 kati yao ni madereva wa malori , 13 waliosalia ni watu waliokuwa karibu na wagonjwa ambao tayari wamethibitishwa kuwa na virusi vya Corona.




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments