Picha : MUONEKANO WA MAJENGO YA KISASA HOSPITALI YA WILAYA YA SHINYANGA


Muonekano wa sehemu ya Majengo 8 ya Hospitali ya Wilaya ya Shinyanga iliyopo katika kijiji cha Iselamagazi kata ya Iselamagazi halmashauri ya wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020. 

Majengo yaliyopo ni Jengo la wagonjwa wa nje (OPD), (Maabara (Laboratory), Stoo ya dawa (Pharmacy) , Mionzi (X- Ray), Wazazi (Maternity), Kuhifadhia dawa za chanjo(DVS), Kufulia (Laundry), Kuhifadhia maiti (Mortuary). 

Ujenzi ulianza Januari 4,2019 na umekamilika kwa asilimia 98 ukigharimu jumla ya shilingi bilioni 1.5 na tayari huduma za matibabu kwa wagonjwa wa nje (OPD) zimeanza kutolewa. 

Kwa Mujibu wa Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko Mboneko uwepo wa hospitali hiyo utasaidia kupunguza vifo vya wajawazito wakati wa kujifungua kutokana na kuchelewa kupata huduma,ambapo kwa sasa wananchi wamesogezewa huduma karibu na wataondokana na adha ya kusafiri umbali mrefu. 

“Wananchi walikuwa wanasafiri umbali mrefu kufuata huduma za hospitali katika hospitali ya rufaa ya Shinyanga zaidi ya kilometa 100 kutoka Kata ya mwisho ya Halmashauri ya Shinyanga”,amesema Mboneko. 

“Tunamshukuru Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuwakumbuka wananchi wanyonge wa wilaya ya Shinyanga kwa kuboresha huduma za afya ili wananchi wapate huduma karibu na makazi yao ili kuondoa adha ya kusafiri umbali mrefu. Na sisi tumeongezea majengo hayo mawili ya kuhifadhia maiti na jengo la dawa za chanjo kwa chenji iliyobaki, tumetumia pesa vizuri”,amesema Mboneko.
Muonekano wa Jengo la Mionzi katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Mionzi katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Muonekano wa Jengo la Wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa majengo katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Kufulia katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Kufulia katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Kufulia (kulia),mengine ni majengo ya chanjo na stoo ya dawa (kushoto) katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Kufulia katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la maabara  katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la kuhifadhia maiti  katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Maabara katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Wazazi katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Wazazi katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Wazazi katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Maabara katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Muonekano wa Jengo la Mionzi katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga leo Jumanne Juni 30,2020 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527