MWILI WA MWANAHARAKATI WA HAKI ZA WATU WENYE UALBINO JOSEPHAT TORNER WAZIKWA MKOANI SIMIYU


Mazishi ya Mwili wa Mwanaharakati wa kutetea Haki za watu wenye ualbino Josephat Torner Nkwabi (42) yamefanyika leo mchana Alhamis Aprili 16,2020 katika kijiji cha Mwamwenge kata ya Imalamate wilaya ya Busega mkoani Simiyu alikozaliwa.

Josephat Torner Nkwabi amefariki dunia Siku ya Sikukuu ya Pasaka Aprili 12,2020 majira ya saa mbili usiku baada ya kugongwa na Hiace 'Daladala' akivuka barabara jijini Mwanza .




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post