ALIYEKUWA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI BALOZI JACOB KINGU NAYE AWASILI TAKUKURU KUHOJIWA

Aliyekuwa Katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani ya nchi, balozi Jacob kingu amefika ofisi za Takukuru jijini hapa kwa ajili was mahojiano kufuatia agizo la Rais John Magufuli kuhusu mkataba tata wa Tsh trilioni 1 wa ununuzi wa vifaa vya zimamoto.  



Kingu ametanguliwa na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo Kangi Lugola


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527