Video : CHANZO CHA MGOGORO HUU KATI YA IRAN NA MAREKANI

Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa anasisistiza kuwa mataifa ya Ulaya yanastahili kuchukua hatua madhubuti kuilipa fidia Tehran kutokana na hasara ya kiuchumi iliyosababishwa na vikwazo vya marekani dhidi yake - la sivyo itaendelea na mpango wake wa uundaji silaha za nyuklia. 

Nayo Marekani inataka kubuni muungano wa kimataifa wa kijeshi kulinda mipaka ya majini katika eneo la Iran na Yemen.

Lakini mzozo ulioshuhudiwa hivi karibuni kati ya mataifa hayo mawaili sio jambo geni- 

Nchi hizi zimekuwa na uhasama wa miongo kadhaa.

Tazama hii Video!


Credit:BBC


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527