KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO WAZINDUA GAZETI LAO JIPYA 'SAUTI KUU' JIJINI DAR


Askofu mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato jimbo la Kusini mwa Tanzania (Southern Tanzania Union STU) Mchungaji Mark W Malekana akitambulisha gazeti la Sauti Kuu linalomilikiwa na kanisa hilo kwa waandishi wa habari (Hawapo Pichani) jana Januari 23,2020.Utambulisho wa gazeti hilo ulifanyika katika ofisi za makao makuu ya jimbo yaliyopo Mbweni jijini Dar es saalam.
Askofu mkuu wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato jimbo la Kusini mwa Tanzania Mch. Mark Malekana (wa tatu kulia) akiwa na viongozi wa Shirika la Vyombo vya habari vya Kanisa hilo (TAMC) wakiwa na nakala za Gazeti la Sauti Kuu, lililotambulishwa kwa waandishi wa Habari mapema Jana Januari 23,2020 . Kutoka kushoto ni Reuben Mbonea (Mhazini), Mch. Christopher Ungani (Mkurugenzi mkuu) na Hosiana Mwasomola (Wa kwanza kushoto, Mkurugenzi Mwenza).Utambulisho wa gazeti hilo ulifanyika katika ofisi za makao makuu ya jimbo yaliyopo Mbweni jijini Dar es saalam


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527