TIGO YAIFIKISHA PROMOSHENI YA TIGO FIESTA 2019 CHEMSHA BONGO JIJINI ARUSHA


Kaimu mkurugenzi wa kampuni ya simu za mkononi,Aidan Komba akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa promosheni ya Tigo Fiesta 2019 Chemsha Bongo iliyofanyika Jijini Arusha.Pembeni yeke ni Mtaalamu wa huduma za Kidigitali wa Tigo,Fabian Felician 
Mtaalamu wa huduma za Kidigitali wa Tigo,Fabian Felician akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa promosheni ya Tigo Fiesta 2019 Chemsha Bongo iliyofanyika Jijini Arusha.Pembeni yeke ni Kaimu mkurugenzi wa kampuni ya simu za mkononi,Aidan Komba 
Wateja wa Tigo wanaoshiriki katika promosheni ya Tigo Fiesta 2019 Chemsha Bongo kwa mara ya kwanza wana nafasi ya kushinda hadi Sh1 milioni kila wiki huku mshindi wa jumla ataweza kujinyakulia gari mpya aina ya Renault Kwidyenye thamani ya Sh23 milioni.
Meena Ally akitoa maelezo jinsi ya kushinda Gari mpya (0kms) aina ya Renalt Kwid kwenye promosheni ya #TigoFiestaChemshaBongo. Tuma Neno "Muziki" kwenda 15571

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527