BARABARA YA SEGERA - MKOMAZI YAFUNGULIWA BAADA YA MAFURIKO KUPUNGUA

Barabara ya Segera - Mkomazi ambayo ilikuwa imefungwa tangu jana kutokana na barabara hiyo kujaa maji eneo la Mandera, imefunguliwa leo baada ya maji kupungua na Tanroads kuifanyia marekebisho.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527