MWANDISHI WA HABARI GODFREY DILUNGA AFARIKI DUNIA


Aliyekuwa  Mhariri wa Gazeti la Jamhuri, Godfrey Dilunga, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne Septemba 17, 2019, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dar es Salaam, alikokuwa akipatiwa matibabu.


Mwili wake tasafirishwa kwenda Morogoro kesho Septemba 18, 2019, na msiba uko Kimara Stop-Over jijini Dar es Salaam kwa dada yake.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527