WAKONGWE WA YANGA SC NA PAMBA SC KUKUTANA KILELE WIKI YA MWANANCHI


Kuelekea kilele cha wiki ya Mwananchi mambo yanazidi kunoga huku Uongozi ya Klabu ya Yanga ukiendelea kuongeza ubunifu wenye lengo la kusherehesha siku hiyo ambayo itafanyika Siku ya Agosti 4 katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

Licha ya klabu hiyo ya Mitaa ya Jangwani kuendelea na wiki ya Mwananchi kwa kufanya Shughuli mbalimbali za Kijamiii,pia siku hiyo ya kilele cha Wiki ya Mwananchi utapigwa mchezo wa kirafiki utakaowakutanisha wachezaji wa zamani wa timu hiyo Dhidi ya wachezaji wa zamani wa Pamba Fc ya Jijini Mwanza.
 VIKOSI vitakavyocheza mchezo wa kirafiki siku ya kilele cha Mwanachi uwanja wa Taifa, Agosti 4

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527