BASI LA ABOOD LAPATA AJALI ENEO LA MKOLANI JIJINI MWANZA


Basi la kampuni ya Abood linalofanya safari zake Mwanza-Dar limepata ajali asubuhi eneo la Mkolani Jijini Mwanza njiani likielekea Dar.


Inadaiwa kwamba chanzo cha ajali hiyo ni mwendesha pikipiki aliyekatiza barabara ghafla na kusababisha dereva wa basi kukosa mwelekeo.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527