MAOMBI YA KUJIUNGA VYUO VIKUU KUANZA RASMI JUMATATU JULAI 15.....HII HAPA TAARIFA RASMI YA TCU

Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Profesa Charles Kihampa amezungumzia wahitimu wanaohitaji maombi ya Vyuo vya Elimu ya Juu kuzingatia umakini katika uombaji kwa sababu hakuna kubahatisha.


Prof.Kihampa amesema wanaoomba maombi hayo wanapaswa kuomba kupitia tovuti za Vyuo husika na yatafanyika kwa njia ya Elektroniki.

Advertisement

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post