Rais Magufuli Amjulia Hali Mke Wa Baba Wa Taifa Mama Maria Nyerere Jijini Dar Es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John pombe Magufuli pamoja na mkewe Mama Janeth Magufuli wamemjulia hali mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere anayepatiwa matibabu jijini Dar es Salaam.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post