MWENYEKITI WA BAVICHA PATRICK OLE SOSOPI AKAMATWA NA POLISI

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), Patrick Ole Sosopi pamoja na wenzake wawili wamekamatwa na Polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kufanya shughuli za kisiasa ikiwemo kampeni za nyumba kwa nyumba. 


Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Wilbroad Mutafungwa  amesema watu hao wamekama Ifaraka na wapo njiani kupelekwa kituo kikuu cha polisi mkoa wa Morogoro.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post