Picha : MAGARI MAWILI YA MASHINDANO YAGONGANA NA KUUA ARUSHA


Ajali imetokea leo Aprili 21, 2019 baada ya magari mawili ya mashindano kugongana eneo la Oldonyosambu, Arumeru jijini, Arusha na kuua na kujeruhi baadhi ya watu waliokuwa nje ya barabara.

Kati ya magari hayo mawili yaliyopata ajali, moja lilikuwa linaendeshwa na Mkenya na lingine Mtanzania.

Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shanna akiongea amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo huku akisema atatoa taarifa kamili baada ya saa moja.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527