WAMBURA ASOMEWA MASHTAKA 17 LIMO LA UTAKATISHAJI FEDHA MIL 75

Aliyekuwa Makamu wa Rais TFF, Michael Wambura amesomewa mashitaka 17 Mahakamani Kisutu ikiwemo utakatishaji fedha Mil.75

Kesi imeahirishwa hadi Feb. 14 kwa ajili ya Hakimu kuamua kama aifute kesi ama la, Wambura amepelekwa rumande kusubiri uamuzi wa Mahakama.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527