Tanzia : BABA MZAZI WA ALIKIBA AFARIKI DUNIA

Baba mzazi wa msanii wa Bongo Fleva, Alikiba Mzee Saleh amefariki dunia alfajiri ya leo Januari 17, 2019 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu..

Inaelezwa kuwa, Mzee Kiba ambaye pia ni baba mzazi wa msanii Abdu Kiba na Zabibu Kiba amekua akiugua kwa muda sasa huku akiendelea kutibiwa.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527