Video : VYAMA 15 VYA SIASA VYATOA TAMKO TANZANIA

Leo Desemba 09, 2018, Vyama vya siasa 15 nchini kupitia viongozi wake wakuu vimekutana na kutoa tamko la pamoja kuhusiana na mabadiliko ya sheria ya Vyama vya siasa uliowasilishwa hivi karibuni na serikali Bungeni wakati wa mkutano wa 13 wa Bunge la 11 jijini Dodoma. Tazama Video Live Hapo Chini

Advertisement

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527