Breaking ; RAIS MAGUFULI AMTUMBUA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Dkt. Irene Isaka.

Taarifa kutoka Ikulu iliyotolewa leo Disemba 28,2018 inasema
Uteuzi wa Mkurugenzi mwingine utafanyika baadae na Dkt. Irene Isaka atapangiwa kazi nyingine.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527