BASI LA SIMBA SC LAPATA AJALI ZAMBIA

Basi la klabu ya soka ya Simba ambalo limebeba mashabiki wa timu hiyo kwenda mjini Kitwe Zambia limepata ajali baada ya kugongana na roli maeneo ya Kapiri Mposhi. 

Imeelezwa kuwa hakuna madhara makubwa yaliyotokea. Simba itacheza na Nkana FC kesho.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527