FORBES YATOA LIST YA MASTAA MATAJIRI DUNIANI ,KYLIE JENNER AFIKIA UTAJIRI WA JAY Z


Fahamu kuwa jarida la Forbes 2018 limetaja list ya watu maarufu wenye utajiri mkubwa nchini Marekani huku list hiyo ikiongozwa na mwongozaji wa Filamu George Lucasmwenye utajiri wa Dola Billions 5.4 za Kimarekani sawa na zaidi ya Trillion 12 za Kitanzania.

Huku mwanadada Kylie Jenner’21 akitajwa kufikia utajiri wa rapper Jay Z wakifungana kwa kuwa na utajiri wa kiasi cha dola Milioni 900 sawa na zaidi ya shillingi Trillion 2 za Kitanzania wote wakiwa wameshikilia nafasi ya 5.

Unaambiwa kuwa utajiri wa Kylie Jenner umetokana na malipo ya kipindi cha Televisheni (Keeping Up With The Kardashians) pamoja na bidhaa zake za urembo (Kylie Cosmetics Line).

Hii ndio list kamili ya watu maarufu wenye utajiri mwaka 2018.

1. George Lucas

Net worth: $5.4 billion

2. Steven Spielberg

$3.7 billion

3. Oprah Winfrey

$2.8 billion

4. Michael Jordan

$1.7 billion

5. (tie) Kylie Jenner

$900 million

5. (tie) Jay-Z

$900 million

7. David Copperfield

$875 million

8. Diddy

$825 million

9. (tie) Tiger Woods

$800 million

9. (tie) James Patterson

$800 million

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527