DIAMOND PLATNUMZ AANIKA NYIMBO ATAKAZOZIPIGA KWENYE TAMASHA LA WASAFI FESTIVAL MTWARA


Msanii Diamond Platnumz ametoa orodha ya nyimbo 32 atakazoziperform katika tamasha la Wasafi Festival Mtwara.

Msanii huyo ambae alikuwa Dubai alipoenda kufanya Show katika tamasha kubwa la One African Music Festival ambalo walipafomu wasanii wengi sana kutoka Afrika aliporejea aliandika ujumbe huo hapo juu.

Na baada ya muda kidogo aliorodhesha nyimbo atakazo zitumia katika show ya Wasafi Festival ambazo jumla ziko 52 na wimbo wa 52 ambao ni Mwanza akitahadharisha kwamba atautumia hadi pale atakapopewa ruhusa maana umeshafungiwa.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527