WAANDISHI HABARI ZA KILIMO SAYANSI WATEMBELEA SHAMBA LA MAJARIBIO LA GMO MAKUTUPORA MKOANI DODOMA


Mkurugenzi wa Kituo cha Mjaribio ya Teknolojia ya Uhandisi Jeni (GMO) cha Makutupora mkoani Dodoma, Dkt. Cornell Massawe, akizungumza na Waandishi wa Habari za Kilimo Sayansi walipotembelea shamba hilo kwa ziara ya mafunzo mkoani humo jana.
Mtafiti wa Kilimo Dkt. Justin Ringo kutoka Tari-Ilonga, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mahindi ya GMO na yale yaliyopandwa kwenye ukame.
Mkurugenzi wa Kituo cha Majaribio ya Teknolojia ya Uhandisi Jeni (GMO) cha Makutupora mkoani Dodoma, Dkt. Cornell Massawe, akiwaonesha Waandishi wa Habari mahindi yaliyopandwa kwa mbegu za kienyeji jinsi yalivyoshambuliwa na wadudu.
Mtafiti wa Kilimo Dkt.Justin Ringo kutoka Tari-Ilonga, akizungumza na Waandishi wa Habari.
Mtafiti wa Kilimo Dkt.Justin Ringo kutoka Tari-Ilonga, akitoa maelezo kwa Waandishi wa Habari juu ya namna mtego wa kunasa wadudu aina ya Bungua wa mahindi unavyofanya kazi.
Mahindi yaliyoliwa na wadudu aina ya Bungua wa mahindi na Viwavi Jeshi yanavyoonekana.
Waandishi wakiuliza maswali.
Hapa Waandishi wa habari wakielezwa jinsi mahindi yaliyokwisha fanyiwa utafiti yanavyoteketezwa katika shimo maalumu.
Muonekano wa shamba hilo la majaribio. 
Wanahabari wakisubiri kuingia katika shamba hilo la majaribio.
Safari kuelekea kwenye shamba hilo.
Mtafiti wa Kilimo Dkt.Justin Ringo kutoka Tari-Ilonga, akionesha waandishi wa habari (hawamo pichani) namna wadudu aina ya Bungua wa mahindi walivyoshambulia mmea wa mahindi katika shamba hilo la majaribio.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527