![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhqJ0RnQY2vU_xyzrrpoA4k3fkr7j60ez85xjcRbmvRQho4D0YRgNFVgrtNYFLoqeHJT22Y4O92tLJ97-YOyIB8SfgrEi-MrDgZv2FIBFUQbd6Uf32vmyAySSXidW4j0Sfls-QVIcAYE9c/s640/IMG_20181007_161330.jpg)
Mbunge wa Simanjiro Kupitia chama cha Demokrasia (CHADEMA) Ndg. James Ole Millya amejivua uanachama wa chama hicho pamoja na nyadhifa zake zote na kutangaza kuhamia CCM ambako alikuwa awali.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553