SABABU ZA MBUNGE WA SIMANJIRO CHADEMA JAMES OLE MILLYA KUJIUZULU UBUNGE NA KUHAMIA CCM

Mbunge wa Simanjiro Kupitia chama cha Demokrasia (CHADEMA) Ndg. James Ole Millya amejivua uanachama wa chama hicho pamoja na nyadhifa zake zote na kutangaza kuhamia CCM ambako alikuwa awali.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527