Makubwa Haya : JOGOO ALIYENYONYOLEWA MANYOYA NA KUVISHWA 'HIRIZI' KANASWA STENDI YA MABASI TABORA
Anonymous-
Shuhudia jogoo aliyenyonyolewa manyoya yote akiwa hai na kuzua mshangao katika Stendi ya mabasi mkoani Tabora.
Meneja wa Kituo hicho kaamua kumchukua na kumgeuza kitoweo bila kuogopa hayo mahirizi yake. Tazama apo chini
Download/Pakua App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527