DIWANI MWINGINE WA LEMA ATIMKIA CCM


Diwani wa kata ya Olasiti  Katika Jiji la Arusha kupitia (Chadema), Ndg.Alex Marti ameamua  kuandika  barua ya kujiuzulu udiwani na kujiunga na chama chama Mapinduzi CCM kwa maelezo kwamba anamuunga mkono Rais John Magufuli.

Alex Marti  ni diwani wa nane katika Jiji la Arusha  kujiuzulu kwa kipindi hiki kwa kufurahishwa na utendaji kazi wa  Rais John Pombe  Magufuli.

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, amethibitisha leo ( September 02, 2018 ) kupata taarifa za kujiuzulu kwa diwani huyo Ndg .Alex Marti

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527