CROATIA WAITWANGA URUSI...KUKUTANA NA ENGLAND NUSU FAINALI


Ivan Rakitic ameifungia Croatia penalti ya ushindi, mwisho kwa Urusi

Urusi 3-4 Croatia (Mikwaju ya Penalti)

Mwisho wa wenyeji Kombe la Dunia 2018, Ivan Rakitic amefunga mkwaju wake wa mwisho na sasa Croatia ndio watakaokutana na England nusu fainali.

Kwa Urusi, ndio mwisho wa kushinda Kombe la Dunia mwaka huu.

Wameondoka kwa kushindwa 3-4 kwa mikwaju ya baada ya mechi baada ya mechi kumalizika 2-2 muda wa kawaida na wa ziada.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527