RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KAMATI ALIYOUNDA KUHAKIKI MALI ZA CCM...ATAKA MTU YEYOTE AHOJIWE


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli amekutana kwa mara ya kwanza na kamati maalum aliyoiunda kwa lengo la kuhakiki mali za chama hicho 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527