Breaking Newa: WABUNGE WA UPINZANI WAGOMA KUINGIA BUNGENI

Taarifa kutokea Bungeni Dodoma ni kuhusu Wabunge wa Upinzani wamegoma kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge wakati Mkutano wa Nane wa Bunge la 11 ukiendelea kwa madai kuwa hawakufurahishwa na maamuzi ya kufukuzwa Wabunge 8 wa Viti Maalumu wa Chama cha Wananchi CUF.

Mkutano wa Nane wa Bunge la Jamhuri umeanza leo Mjini Dodoma na moja ya mambo yaliyopo kwente ratiba ya mkutano huo ni kuapishwa kwa Wabunge wapya 8 wa Viti Maalumu ambao wameteuliwa kuziba nafasi za Wabunge 8 wa Viti Maalumu waliofutwa CUF.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post