AUAWA KWA KUCHOMWA MOTO KIGOMA

Mtu mmoja anayejulikana kwa jina la Emmanuel Songoye ameuawa kwa kuchomwa moto na wananchi katika kijiji cha Kabanga wilayani Kasulu mkoani Kigoma katika tukio ambalo pia wameteketeza kwa moto nyumba saba, magari mawili, pikipiki nne na mali za familia za watu sita ambao wanawatuhumu kufanya mauaji ya watu kijijini hapo kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na ushirikina ili watajirike.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post