Wasukuma Mpoo : HII HAPA NGOMA MPYA MSANII KEMA HEWA - ULEVI
Saturday, September 02, 2017
Umenifikia wimbo huu mpya wa Msanii Kema Hewa kutoka Nyamilangano -Ushetu wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga inaitwa Ulevi. Inahusu madhara ya ulevi ikiwemo kushindwa kupeleka watoto shule.Wasiliana na Kema Hewa kwa simu namba 0685 190 850.
Sikiliza ngoma hii hapa chini
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin