HIACHE YAGONGANA NA LAND CRUISER SEGESE KAHAMA YAUA WATU WATANO



Habari tulizozipata hivi punde katika chumba cha habari cha Malunde1 blog ni kwamba zaidi ya watu watano wamepoteza maisha baada ya Hiace waliyokuwa wanasafiria kugongana na Land Cruiser asubuhi hii katika eneo la Izengwabahara Segese Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.

Inaelezwa kuwa Hiace ilikuwa inatoka Kakola kwenda Kahama Mjini na Landcruiser ilikuwa inatokea Kahama Mjini.






Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post