
May 24, 2017 Rais Magufuli amepokea ripoti ya Kamati ya Maalum iliyochunguza Mchanga wa Madini kwenye Makontena ambapo pamoja na mambo mengine yaliyogundulika JPM amemtaka Waziri mwenye dhamana kujitathmini.
Jambo hilo limegusa hisia za watu wengi mmoja akiwa ni Naibu Waziri wa Afya Dr. Hamisi Kigwangalla ambaye aliitumia account yake ya Twitter kuandika haya:
“Alichokifanya leo Rais Magufuli kwenye sekta ya madini ni jambo la kizalendo na kwa hakika litaleta mabadiliko, nilisema hivi tangu 2011.” – Kingwangala
Social Plugin