IDD AZZAN ATUA POLISI KUTII WITO WA MAKONDA


Aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Idd Azzan ameripoti Kituo Kikuu cha Polisi kuhojiwa kuhusu tuhuma za kuhusika na Dawa za Kulevya baada ya kutajwa na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.


Viongozi wengine waliotakiwa kufika polisi kuhojiwa ni Askofu Josephat Gwajima na Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, ambao waliripoti jana

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post