Dunia na Vjimambo: KUTANA NA SALAMU ZISIZOKUWA ZA KAWAIDA KUTOKA CAMEROON...INACHEKESHA

Tangu waziri wa michezo nchini Cameroon Pierre Ismael Bidoung Mpkatt ainame wakati akimsalimia rais wa nchi hiyo Paul Biya, picha hizo zinazidi kusambaa mitandaoni.

Watu nchini Cameroon wamekuwa wakiiga picha hizo na hata kuifanyia mabadiliko.


Pierre Ismael Bidoung Mpkatt akimsalimia Paul Biya

Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Mfano mwingine ulibuniwa.

Huyu naye alishuka hata chini Zaidi.
Huyu jamaa naye aliamua kushuka.
Wanyama pia walishiriki.
Je umeiona hii?
Na hata mbuzi huyu alishirikishwa ambaye picha yake iliwekaa mtandao wa Facebook.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527