Watu nchini Cameroon wamekuwa wakiiga picha hizo na hata kuifanyia mabadiliko.
Mfano mwingine ulibuniwa.
Huyu naye alishuka hata chini Zaidi.
Huyu jamaa naye aliamua kushuka.
Wanyama pia walishiriki.
Je umeiona hii?
Na hata mbuzi huyu alishirikishwa ambaye picha yake iliwekaa mtandao wa Facebook.
Social Plugin