Mtanzania Alfonce Simbu Aandika Historia ya Olimpiki Brazil
Sunday, August 21, 2016
Baada ya wenyeji wa michuano ya Olympic Brazil kushinda medali ya dhahabu kwa mara ya kwanza katika historia kwa mchezo wa soka, leo Agosti 21, 2016 mtanzania Alphonce Simbu ameingia kwenye headlines.
Mtanzania Alphonce Simbu ameingia kwenye headlines baada ya kufanikiwa kumaliza mbio ndefu yaani marathon kwa kushika nafasi ya tano kati ya washiriki wa nchi 200 walioshiriki mbio hizo, Alphonce hajafanikiwa kushinda medali ya dhahabu ila ndiyo mtanzania aliyefanya vizuri katika riadha kwenye mashindano ya Rio2016 Olympic.
Mwanariadha Alphonce Felix
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin